jump to navigation

Kuelekea nchi ya ahadi December 5, 2006

Posted by Ramadhani Msangi in Siasa.
trackback

Tuna kila kitu ambacho tunahitaji kwa ajili ya kuendelea, lakini hatuendelei. Tuna maji ya kutosha (japo wanatuongopea kuwa yanakwisha), tuna mabonde yenye utajiri mkubwa wa rasilimali muhimu kwa maendeleo, tuna ardhi ya klutosha yenye rutuba na…na…. Tunachokosa tu naamini ni uongozi wenye mikakati ya kimaendeleo. Uongozi wa kutupeleka kwenye nchi ya ahadi. Je, tufanyeje sasa ili kufikia kwenye hiyo nchi ya maziwa na asali??

Karibu tujadili matatizo yanayotukabili, njia muafaka za kuyatatua na kipi kifanyike ili tuweze kufikia tutakayoyajadili.

Advertisement

Comments»

1. james - December 5, 2006

Tunaweza kufika ikiwa kila mmoja atakuwa na ndoto za namna hiyo mkubwa. Nafurahi kutembelea kijiwe chako kipya kamanda


Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out / Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out / Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out / Change )

Connecting to %s

Follow

Get every new post delivered to your Inbox.