Kuelekea nchi ya ahadi December 5, 2006
Posted by Ramadhani Msangi in Siasa.trackback
Tuna kila kitu ambacho tunahitaji kwa ajili ya kuendelea, lakini hatuendelei. Tuna maji ya kutosha (japo wanatuongopea kuwa yanakwisha), tuna mabonde yenye utajiri mkubwa wa rasilimali muhimu kwa maendeleo, tuna ardhi ya klutosha yenye rutuba na…na…. Tunachokosa tu naamini ni uongozi wenye mikakati ya kimaendeleo. Uongozi wa kutupeleka kwenye nchi ya ahadi. Je, tufanyeje sasa ili kufikia kwenye hiyo nchi ya maziwa na asali??
Karibu tujadili matatizo yanayotukabili, njia muafaka za kuyatatua na kipi kifanyike ili tuweze kufikia tutakayoyajadili.
Advertisement
Tunaweza kufika ikiwa kila mmoja atakuwa na ndoto za namna hiyo mkubwa. Nafurahi kutembelea kijiwe chako kipya kamanda